Mimi Ni Wa Juu
Juu, juu, juu sana
Kuna wakati wa giza
Mbele sioni najiuliza
Mbona kama hizi shida
Zimekawia kuisha
Katikati ya maswali
Nasikia sauti ndani
Imebeba ujasiri
Ikinitaka nikiri
Nikisema
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Juu sana
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Juu sana
Sitafsiriwi kwa haya
Machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu
Kamusi ndiye Mungu
Haijalishi ni giza
Yeye ni nuru yangu
Nitashishinda hii vita
Na yote yatakwisha
Nitasimama tena
Nitainuka tena
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu tu
Nitasimama tena
Nitainuka tena
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)
Mimi ni wa juu (juu zaidi ya mawingu)
Mimi ni wa juu (juu sana)
Juu sana (nimeketishwa juu sana)
Mimi ni wa juu (kwenye milele tu)
Mimi ni wa juu (nawaza yaliyo juu)
Mimi ni wa juu (juu saana)
Juu sana
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu, juu sana
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu, juu sana
Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)
Mimi ni wa juu (haijalishi mazingira haya)
Mimi ni wa juu (haijalishi napitia nini)
Juu sana (yote yatapita)
Mimi ni wa juu (mimi nitashinda tu)
Mimi ni wa juu (kwa juu sana)
Mimi ni wa juu (juu sana)
Juu sana
Sitafsiriwi kwa haya
Machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu
Kamusi ndiye Mungu
Eu Sou do Alto
Alto, alto, bem alto
Às vezes vem a escuridão
Na frente não vejo, fico me perguntando
Por que essas dificuldades
Demoram pra acabar
No meio das perguntas
Sinto uma voz dentro
Carregando coragem
Me pedindo pra eu admitir
Dizendo que
Eu sou do alto
Eu sou do alto
Eu sou do alto
Bem alto
Eu sou do alto
Eu sou do alto
Eu sou do alto
Bem alto
Não sou definido por isso
Lágrimas e dificuldades
Eu sou só um vencedor
A Bíblia é meu Deus
Não importa a escuridão
Ele é minha luz
Vou vencer essa batalha
E tudo vai passar
Vou me levantar de novo
Vou me erguer de novo
Eu sou só do alto
Eu sou só do alto
Vou me levantar de novo
Vou me erguer de novo
Eu sou só do alto
Eu sou só do alto
Eu sou do alto (sou bem alto)
Eu sou do alto (mais alto que as nuvens)
Eu sou do alto (bem alto)
Bem alto (estou sentado bem alto)
Eu sou do alto (pra sempre)
Eu sou do alto (pensando nas coisas altas)
Eu sou do alto (bem alto)
Bem alto
Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Alto, bem alto
Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Alto, bem alto
Eu sou do alto (sou bem alto)
Eu sou do alto (não importa o que acontece)
Eu sou do alto (não importa o que eu passo)
Bem alto (tudo vai passar)
Eu sou do alto (eu vou vencer)
Eu sou do alto (bem alto)
Eu sou do alto (bem alto)
Bem alto
Não sou definido por isso
Lágrimas e dificuldades
Eu sou só um vencedor
A Bíblia é meu Deus