395px

Eu Sou do Alto

Nandy

Mimi Ni Wa Juu

Juu, juu, juu sana

Kuna wakati wa giza
Mbele sioni najiuliza
Mbona kama hizi shida
Zimekawia kuisha

Katikati ya maswali
Nasikia sauti ndani
Imebeba ujasiri
Ikinitaka nikiri
Nikisema

Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Juu sana

Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu
Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya
Machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu
Kamusi ndiye Mungu

Haijalishi ni giza
Yeye ni nuru yangu
Nitashishinda hii vita
Na yote yatakwisha

Nitasimama tena
Nitainuka tena
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu tu

Nitasimama tena
Nitainuka tena
Mimi ni wa juu tu
Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)
Mimi ni wa juu (juu zaidi ya mawingu)
Mimi ni wa juu (juu sana)
Juu sana (nimeketishwa juu sana)

Mimi ni wa juu (kwenye milele tu)
Mimi ni wa juu (nawaza yaliyo juu)
Mimi ni wa juu (juu saana)
Juu sana

Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu, juu sana

Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu, juu sana

Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)
Mimi ni wa juu (haijalishi mazingira haya)
Mimi ni wa juu (haijalishi napitia nini)
Juu sana (yote yatapita)

Mimi ni wa juu (mimi nitashinda tu)
Mimi ni wa juu (kwa juu sana)
Mimi ni wa juu (juu sana)
Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya
Machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu
Kamusi ndiye Mungu

Eu Sou do Alto

Alto, alto, bem alto

Às vezes vem a escuridão
Na frente não vejo, fico me perguntando
Por que essas dificuldades
Demoram pra acabar

No meio das perguntas
Sinto uma voz dentro
Carregando coragem
Me pedindo pra eu admitir
Dizendo que

Eu sou do alto
Eu sou do alto
Eu sou do alto
Bem alto

Eu sou do alto
Eu sou do alto
Eu sou do alto
Bem alto

Não sou definido por isso
Lágrimas e dificuldades
Eu sou só um vencedor
A Bíblia é meu Deus

Não importa a escuridão
Ele é minha luz
Vou vencer essa batalha
E tudo vai passar

Vou me levantar de novo
Vou me erguer de novo
Eu sou só do alto
Eu sou só do alto

Vou me levantar de novo
Vou me erguer de novo
Eu sou só do alto
Eu sou só do alto

Eu sou do alto (sou bem alto)
Eu sou do alto (mais alto que as nuvens)
Eu sou do alto (bem alto)
Bem alto (estou sentado bem alto)

Eu sou do alto (pra sempre)
Eu sou do alto (pensando nas coisas altas)
Eu sou do alto (bem alto)
Bem alto

Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Alto, bem alto

Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Penso nas coisas (altas)
Alto, bem alto

Eu sou do alto (sou bem alto)
Eu sou do alto (não importa o que acontece)
Eu sou do alto (não importa o que eu passo)
Bem alto (tudo vai passar)

Eu sou do alto (eu vou vencer)
Eu sou do alto (bem alto)
Eu sou do alto (bem alto)
Bem alto

Não sou definido por isso
Lágrimas e dificuldades
Eu sou só um vencedor
A Bíblia é meu Deus

Composição: