395px

Yalaaaa

Zuchu

Yalaaaa

Mmmmh kaniumbua umbua
Anavyonidadavua
Vitu flani vya kusisimua
Chachambu anavyo ichambua
Hunipa ning’ate ng’ate
Mikato nikate kate
Igande inate nate
Itelezeshwe kwa matee

Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa

Kanipania pania
Na hajataka kuniachia
Kanipania pania
Na hajataka kuniachia
Kama samaki hulumangia
Huanza kichwa mpaka na mkia
Naiomba serikali
Kijana apelekwe mbali
Ananifanya silali, siwazi, sitafakari

Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa

Yalaaaa

Mmmmh, me pega, me pega
Ele me deixa doido
Coisas que me deixam animado
Ele analisa como ninguém
Me faz querer, querer
Meus planos, eu vou fazer
A vida vai rolar
Deixa fluir, sem pressa

Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa

Ele me persegue, persegue
E não quer me largar
Ele me persegue, persegue
E não quer me largar
Como peixe que não para
Começa pela cabeça e vai até a cauda
Eu peço pro governo
Pra esse cara ir pra longe
Ele não me deixa dormir, não penso, não raciocino

Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa
Yalaaaa, yalaaaa

Composição: