Mshumaa
Alikiba
Ule ugonjwa ulioniacha nao
Bado sijapona
Hata mapenzi ulioniacha nayo
Yamebaki jina
Hospitali ooh
Za dunia nzima
Nimezunguka kote
Wamepima majibu hakuna
Hata ngoma sina (sina ooh)
Pressure sina (sina eeh)
Ugonjwa sina (sina)
Jina lako ninalo
Uwepo wako
Ndo ulikuwa wangu uzima
Naona giza
Giza totoro aai
Alioo iyoo
Nakumiss
Tena, tutonana
Tena, hata Mungu akipanga leo
Tena, nikufe kesho
Tena, tutaonana tena
Tena, ifike kesho uliamba
Tena, waniweke kwa mchanga
Tena, nikufe kesho
Tena, ali ooh
Labda nikukumbushe
Nilipokuvisha pete
Ulisema machache
Hauniachi mpaka nife
Maana ngoma sina (sina ooh)
Pressure sina (sina eeh)
Ugonjwa sina (sina)
Jina lako ninalo
Uwepo wako
Ndo ulikuwa wangu uzima
Mi naona giza
Giza totoro aai
Alioo iyoo
Nakumiss, iye iye
Tena, tutonana
Tena, hata Mungu akipanga leo
Tena, nikufe kesho
Tena, tutaonana tena
Tena, ifike kesho uliamba
Tena, waniweke kwa mchanga
Tena, nikufe kesho
Tena, ali ooh



Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Alikiba e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: