
I Miss You
Diamond Platnumz
Hello hapo vipi sijui unanisikia
Hello nna maneno natamani kukwambia
Hello tafadhari usije nikatia
Hello ona mpaka nasaau kusalimia
Habari gani leo, nimekukumbuka sana
Na mama yangu twakuwazagaa
Vipi nyumbani hali ya mumeo na wana
Na aunty Shani wa Chimwagaa ah, ah?
Kile kidonda changu cha roho bado kinanitia tabu
Nnajitaidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
Tena silali oh nasubiri maajabu
Maumivu yangu yaje apate dawa
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
Na roho yangu mama (bingili bingili)
Ah nikikuwaza (bingili bingili)
Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
Oh nikilala (bingili bingili)
Ih inama inuka uwoh (bingili bingili)
Uku sina raha (bingili bingili bayoyo)
Ah iyeeh ah iyeeh
Tatizo kwetu sijui nini kosa langu
Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
Nawaza ila siambui ama shida zangu
Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
Ndio maana haukutaka kusubiria
Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana usiku dona kurumaghia
Nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia
Ningalikua na uwezo ningekutimizia
Mingali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh
Nakumkumbuka iyeeh iyeh
Nakumkumbuka sana ooh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
Ah na roho yangu mama (bingili bingili)
Ah nikikuwaza (bingili bingili)
Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
Oh nikilala (bingili bingili)
Ih inama inuka uwoh (bingili bingili)
Uku sina raha (bingili bingili bayoyo)
Ata nikila (bingili bingili)
Nikikuwaza (bingili bingili)
Nikilala heeh (bingili bingili bayoyo)
Ooh ona roho yangu mama (bingili bingili)
Ah nikikuwaza (bingili bingili)
Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
Heeh, roho yangu mama bingili bingili
Heh heh heeh, bingili bingili
Heh heh heeh, bingili bingili bayoyo
Ooh roho yangu mama bingili bingili
Ih inama inuka uwoh bingili bingili
Ajabu sina raha bingili bingili bayoyo
Ah ata nikila



Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Diamond Platnumz e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: