exibições de letras 663
Letra
    Significado

    Tanta lala la
    Ooh la la la la la
    Mmh

    Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
    Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
    Radio nyimbo wamezima TV ndio hataree
    Umeneja umebaki jina
    Hanitaki hata Tale
    Oooh wale shabiki zangu
    Walionisifu kwa maneno matamu

    Leo maadui zangu
    Ni mitusi tu kwa Instagram
    Kimwanaa si dada angu
    Eti nae hanifahamu
    Hata Harmonize nikimpigia
    Ananifokea kama Sallam

    Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa
    Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
    Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
    Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga

    Ooh nayosema yana maana
    Sababu hakuna anaejua kesho
    Anaepanga ni Rabana
    Ila ameificha ni confidential
    Ukisali omba sanaa
    Mumeo nisije kuwa kichekesho
    Maana rafiki wa jana
    Aaah

    Ndio adui mkubwa wa kesho
    La la la la la la
    Au je utanipenda gaa?
    Aa La la la la la
    Au nawe utanimwagaa?
    Aa La la la la la
    Ati utanipenda gaa ooh
    Oh
    Oh

    Bado naiwaza sana
    Vile tunzo mashauzi airport
    Je itapofika tamati
    Utadiriki hata japo kunipost
    Pindi show zimekwamaa
    Na nikipata sijahis ni mikosi

    Oooh jahazi limezama
    Mola ninusulu baba
    Kama namuona mwanangu
    Roho yangu
    Tiffa Dangote
    Anakwenda na mamaangu
    Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
    Usilie Sandra wangu
    Mboni yangu
    Jikaze usichoke
    Huenda kesho zamu yangu
    Nitavuma tena mambo yanyooke

    Ey
    Na magazeti ya nyumbani
    Kwa kukuza habari si unajuagaa
    Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga (Oh yeh yeh yeh)
    Navyo nilivyo mnyonge
    Tabia ya kuwajibu sinaga
    Kama naiona michambo ya madem wa zamani

    Yani He he he
    La la la la la (eh)
    (Ola lala la lala)
    La la la la la
    (Ooh ola la la la)
    La la la la la ala
    Eeeh

    Ola la la lilaa ooh
    I say
    Kama namuona mwanangu
    Roho yangu
    Tiffa dangote
    Ana kwenda na mama angu
    Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
    Usilie sandra wangu
    Mboni yangu
    Jikaze usichoke
    Huenda kesho zamu yangu
    Nitavuma tena
    Mambo yanyooke (he he heee)

    Eiiii
    Ola lala lilaa
    Oooh baby
    Oooooh

    Nayosema yana maana
    Sababu hakuna anaejua kesho
    Anaepanga ni Rabana
    Ila ameificha ni confidential
    Ukisali omba sana
    Mumeo nisije kuwa kichekesho
    Maana rafiki wa jana
    Ndio adui mkubwa wa kesho


    Comentários

    Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra

    0 / 500

    Faça parte  dessa comunidade 

    Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Diamond Platnumz e vá além da letra da música.

    Conheça o Letras Academy

    Enviar para a central de dúvidas?

    Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.

    Fixe este conteúdo com a aula:

    0 / 500

    Opções de seleção