Mapenzi
Kama ni mapenzi
Ya kuniudhi kila saa
Ya kunifanya mi kulia
Na kama huridhiki
Na mbona hujasema
Ili niweze rekebisha
Nifanye mambo shwari
Nikiamini u kwangu
Na kukusifu kwa wazazi
Hujali tenda hisia zangu
Sijui tunapokwenda
Lakini najua tulipotoka
Kutoka sitoki nimetekwa nyara
Kukuwacha siwezi kibarua ngumu
Nashindwa ni nini ntafanya uridhike
Nimetekwa ndani
Mtandao wa mapenzi
Basi nakuomba
Uniteke tu bila mateso
Tazama, nimezama
Ndani ya bahari
La penzi lako
Siwezi
Kusonga mbele
Kurudi nyuma
Sijielewi
Haya mapenzi ya fujo hayafai
Kama wanipenda
Jaribu kunipa raha
Mi nashangaa
Watu wakisema
Eti tunapendana
Japo tunazozana
Ni vizuri mami
Nyumba kuwa na siri
Lakini jaribu
Tusuluhishe
Bila hivyo
Itakuwa mchezo
Wa kuigiza
Kwenye mambo bandia
Mimi sitaki
Mambo ya kujifanya
Ati tunapendana
Tena tunatesana
Nimejaribu sana kujitoa ndani
Kila nikipanga napangua mwenyewe
Natamani sana ungeelewa hivyo
Mimi mateka
Mimi pumbavu
Wa penzi lako
Nieleze ni lini ntakuwa huru
Tazama, nimezama
Ndani ya bahari
La penzi lako
Siwezi
Kusonga mbele
Kurudi nyuma
Sijielewi
Haya mapenzi ya fujo hayafai
Kama wanipenda
Jaribu kunipa raha
Jaribu baby
Mambo
Ya kunifanya kumbafu haifai
Mambo yo yo yo yo yo
Haifai
Jaribu baby
Tusuluhishe
Nimejaribu sana kujitoa ndani
Kila nikipanga napangua mwenyewe
Natamani sana ungeelewa hivyo
Mimi mateka
Mahabusu
Wa penzi lako
Nieleze ni lini ntakuwa huru
Tazama, nimezama
Ndani ya bahari
La penzi lako
Siwezi
Kusonga mbele
Kurudi nyuma
Sijielewi
Haya mapenzi ya fujo hayafai
Kama unanipenda
Jaribu kunipa raha
Amor
Se é amor
Que me machuca a cada hora
Que me faz chorar
E se você não tá feliz
Por que não diz nada?
Pra eu poder consertar
Fazer tudo ficar em paz
Acreditando em você
E elogiando seus pais
Você não se importa com meus sentimentos
Não sei pra onde estamos indo
Mas sei de onde viemos
De onde não saio, estou sequestrado
Te deixar não dá, é um trampo pesado
Não sei o que fazer pra você ficar bem
Estou preso aqui
Na rede do amor
Então eu te peço
Me sequestra sem dor
Olha, eu estou afundando
Dentro do mar
Do seu amor
Não consigo
Seguir em frente
Voltar atrás
Não me entendo
Esse amor bagunçado não vale a pena
Se me ama
Tente me dar prazer
Eu fico pensando
As pessoas dizendo
Que a gente se ama
Mesmo brigando
É bom, mami
Ter segredos em casa
Mas tenta
Nos reconciliar
Senão
Vai ser um jogo
De encenação
Em coisas falsas
Eu não quero
Coisas de faz de conta
Dizendo que nos amamos
E ainda nos machucando
Eu tentei muito me desvincular
Toda vez que planejo, eu mesmo desfaço
Quero muito que você entenda isso
Eu sou refém
Eu sou um idiota
Do seu amor
Me diz quando vou ser livre
Olha, eu estou afundando
Dentro do mar
Do seu amor
Não consigo
Seguir em frente
Voltar atrás
Não me entendo
Esse amor bagunçado não vale a pena
Se me ama
Tente me dar prazer
Tente, baby
As coisas
Que me fazem de bobo não valem
As coisas yo yo yo yo yo
Não valem
Tente, baby
Vamos nos reconciliar
Eu tentei muito me desvincular
Toda vez que planejo, eu mesmo desfaço
Quero muito que você entenda isso
Eu sou refém
Prisioneiro
Do seu amor
Me diz quando vou ser livre
Olha, eu estou afundando
Dentro do mar
Do seu amor
Não consigo
Seguir em frente
Voltar atrás
Não me entendo
Esse amor bagunçado não vale a pena
Se você me ama
Tente me dar prazer