Distance

Lady Jaydee

Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami

Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me
Je t'aime, je te veux, j'ai besoin de toi
Mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

Usiku wa manane, nikasikia waniita
Kufumbua macho nagundua ni ndoto
Usiku wa manane, nikasikia kuh kuh
Kutizama pembeni sikuoni mpenzi
Mara nyingi peke yangu nitembeapo njiani
Nina kuwaza wewe na ninapata kiwewe

Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you, and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me
Je t'aime, je te veux, j'ai besoin de toi
Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

Uwapo safarini mawazo mengi kichwani
Ili kujiliwaza ninapata ss
Penzi si la mmoja mapenzi ni ya wawili
Na ni ya mimi na wewe witunge mwana wa mawe
Ili siku moja tuwe kitu kimoja
Tuje tujenge pamoja na watoto tulee

Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you, and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me
Je t'aime, je te veux, j'ai besoin de toi
Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

Nakupenda (mpenzi wee mpenzi wee)
Ngiyakutanda (mpenzi wee mpenzi wee)
I love you (mpenzi wee mpenzi wee)
Je t'aime (mpenzi wee mpenzi wee)
Nalingiyo (mpenzi wee mpenzi wee)
Ndagukunda (mpenzi wee mpenzi wee)
Nasema nakutaka (mpenzi wee mpenzi wee)
Yakufuna (mpenzi wee mpenzi wee)
Cos I want you (mpenzi wee mpenzi wee)
Je te veux (mpenzi wee mpenzi weee)
Naleliyo (mpenzi wee mpenzi wee)
Ndagushaka (mpenzi wee mpenzi wee)


Comentários

Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra

0 / 500

Faça parte  dessa comunidade 

Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Lady Jaydee e vá além da letra da música.

Conheça o Letras Academy

Enviar para a central de dúvidas?

Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.

Fixe este conteúdo com a aula:

0 / 500

Opções de seleção