Gugugaga (feat. Fid Q)
Lulu Diva
Mchizi fulani mwenye body la ajabu
Nataka anieke ndani
Karangi fulani kalaini ka mkate
Tafuna burudani
Ameniweza na waist vuruga na chest
Ameumbika sio wa masihara
Usiombe ni-rotate kwa jinsi ulivyosexy
Body langu ni biashara
Namtia uchizi
I wanna make big man go mad
Make me crazy
Umeniweza umeniteka mazima
Mchizi noma yaani amenipakata
Ameniweka kwa kiganja amenikamata
Kwa msuruu na ameshajichomeka
Na zile zungusha anazungusha kula mikaa
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
[Fid Q]
Umenishika umenibamba na haulii chosha
Hata kama utaniita ganga nitaitika
Nishikie pochi pata ule mwanga kwa kitochi
Am a big boss wengine shamba cha G kosh
Diva nimefurahia kukupata lazima wanikome
Kwa kwangu ni ka sheria inanifuata ili iniponye
Mipango ya kujiba hainiingii wala hainipendezi
Nishachomwa mwiiba hivo sifikirii kuwa mchembezi
Ati zako men na brand na finer, fimer
Gyal hawatawau wau wa
Kunipa murdercase najaribu my best (yeah, sijielewi)
Kunipa murdercase najaribu my best (yeah, sijielewi)
Mchizi noma yaani amenipakata
Ameniweka kwa kiganja amenikamata
Kwa msuruu na ameshajichomeka
Na zile zungusha anazungusha kula mikaa
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh



Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Lulu Diva e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: