Flavour
Sanaipei Tande
Oh-oh-oh-oh
Nagutuka nkikumbuka
Jinsi unavyonipenda mimi-i-i-i-i
Ooh baby-i-i-i-i
Na kinywa changu chapanuka
Kwa jinsi navyokupenda mimi-i-i-i-i
Oh, baby I-i-i-i
Naogopa hata kuliwaza wazo
Ningelikuwa wapi kama nisingelikutana na weh
Nisingelipatana na weh
Naogopa hata kuliwaza wazo
Ningelikuwa na nani kama nisingelikuwa na weh
Nisingelipatana na weh
Nimejaa jaa jaa
Na raha, raha, raha
You're so perfect
You're so worthy
Nimejaa jaa jaa
Na raha, raha, raha
You're so perfect
You're so worthy
Baby, baby, you're my flavour! (Flavour)
Takupenda maisha yangu yote yaani forever!
Nikufuate utakakoenda yaani wherever!
Wasifaulu wakututenganisha yaani never!
Ever and ever!
Oh-oh-oh-oh
Kama ua, napapatua
Jinsi ulivyoteka mimi-i-i-i-i
Ooh baby-i-i-i-i
Weh ndio taa kwenye kiza
Jinsi unavyoni-beba mimi-i-i-i-i
Ooh baby-i-i-i-i
Naogopa hata kuliwaza wazo
Ningelikuwa wapi kama nisingelikutana na weh
Nisingelipatana na weh
Naogopa hata kuliwaza wazo
Ningelikuwa na nani kama nisingelikuwa na weh
Nisingelipatana na weh
Nimejaa jaa jaa
Na raha, raha, raha
You're so perfect
You're so worthy
Nimejaa jaa jaa
Na raha, raha, raha
You're so perfect
You're so worthy
Baby, baby, you're my flavour! (Flavour)
Takupenda maisha



Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Sanaipei Tande e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: