
Tutawaaibisha (Wataaibika)
KingsMainaMSsteve
Walithania tutakuwa walivyio thania yao
Sisi sasa ni watu wengine
Hawaamini, wasema ni uchawi
Wengine wasema ni miti shamba
Sisi tuna mjua mungu mmoja
Naye ni mungu wa Ibrahimu
Ule wa Bible, eeh, ule mmoja wa Bible
Nilisema tu siku moja tutawaaibisha
Wataaibika na miujiza ya mungu wakituona
Sikuwa mlevi
Nilisema siku yangu itafika nikuwe mimi
Lakini mimi mwingine mtu wa kupedwa na kila mtu
Mbona mnainama mkiniona
Niagalieni kwa macho nyinyi
Mbona hamuniogelei sana
Na venye mlikuwa mnaniogelea vibaya
Endeleni kuniogelea
Nawaluhusu, hiyo ni haki yenu
Mbona mnanisalimia na hamukuwa mnataka ata kuniona
Siwasalimiki sasa mnataka mawaitha
Nilivyio fanikiwa mtoto wa nyoka ni nyoka
Siwezi saidiana na watu kama nyinyi
Kaeni na maisha yenu
Mimi nakaa na maisha yangu
Poleni sana
Mwanadamu anamambo mingi ya kufanya maishani
Nayo maisha ina surprise yake
Maisha ni shule kusoma kuhitimu ni kazi
Wambo aliniacha akapeda brayo
Wacha akae uko joki
Akasema sitanunua mahali
Sasa hivi ona masion yangu
Utaskia kiwaru unikemee
Alafu ukuje sasa tuugane
Tukuwe kitu moja
Sitakubali
Ivo unilete chini penye sijawai fika
Alafu uje uniombe msamaha
Turudiane na wewe haiwezi
Sitakubali
Ulikosa kunisuporti wakati nilikuwa chini
Sasa nimejisimamishi mimi mwenyewe
Sasa nimeanza kukuona karibu na maisha yangu
Kwenda kabisa
Wewe ni rafiki wa aina gani
Nenda na sitawai taka kukuona karibu na maisha yangu
Watu wengine waodoe kabisa karibu na maisha yako
Na mambo itakuwa poa sana
Eeh wewe mwenyewe
Nilisema tu siku moja tutawaaibisha
Wataaibika na miujiza ya mungu wakituona
Sikuwa mlevi
Nilisema siku yangu itafika nikuwe mimi
Lakini mimi mwingine mtu wa kupedwa na kila mtu
Mbona mnainama mkiniona
Niagalieni kwa macho nyinyi
Mbona hamuniogelei sana
Na venye mlikuwa mnaniogelea vibaya
Endeleni kuniogelea
Nawaluhusu, hiyo ni haki yenu
Mbona mnanisalimia na hamukuwa mnataka ata kuniona
Siwasalimiki sasa mnataka mawaitha
Nilivyio fanikiwa mtoto wa nyoka ni nyoka
Siwezi saidiana na watu kama nyinyi
Kaeni na maisha yenu
Mimi nakaa na maisha yangu
Poleni sana



Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de KingsMainaMSsteve e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: