
Ntampata Wapi
Diamond Platnumz
Sura yake mtaratibu mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribuu ila namkumbuka Sana'a
Umbo lake mahbibu kwenye maradhi alonitibu
Siri yangu ukaribu bado namumbuka Sana'a
Alionifanya silali, jua kali nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling akatekwa na wale
Alionifanya silali jua kali nitafute tukale
Ila wala hakujali darling aah
Ntampata wapi kama yule nilompendaga sana
Ntampata wapi kama yule nanipende sana
Aii, aii nyota ah
Nyota ndo tatizo langu
Aii nyota ah
Mpaka nalia peke yangu
Aii nyota ah
Nyota ndio shida yangu
Nyota ah
Wamenizidi wenzangu
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba gari (gari)
Mi kapuku hakunijali (jaali)
Akanikimbiaa
Alidanganywa na wale (wale)
Wa mapesa nyumba gari (gari)
Mi ungaunga hakunijali (jali)
Jaali akanikimbiaa
Alionifanya silali, jua kali nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling akatekwa na wale
Alionifanya silali jua kali nitafute tukale
Ila wala hakujali darling aah
Ntampata wapi kama yule nilompendaga sana
Ntampata wapi kama yule anipende sana
Bado ananijia ndotoni (bado)
Kila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia (ni) kilala
Haki ya mungu sio masiara
The touch Clever (bado)
Hii ni sauti ya raisi (bado)
Iliomshindaga Ibilisi (bado)
Kwa mwanadamu sio rahisi (bado)
Kamwambie (bado)
Lazima ujue kutofautisha (bado)
Kati ya msalaba na jumlisha (bado)
Kuna X na kuzidisha (bado)
Nicheche (cheche)
Bado ananijia nkilala
Haki ya Mungu sio masiara



Comentários
Envie dúvidas, explicações e curiosidades sobre a letra
Faça parte dessa comunidade
Tire dúvidas sobre idiomas, interaja com outros fãs de Diamond Platnumz e vá além da letra da música.
Conheça o Letras AcademyConfira nosso guia de uso para deixar comentários.
Enviar para a central de dúvidas?
Dúvidas enviadas podem receber respostas de professores e alunos da plataforma.
Fixe este conteúdo com a aula: